.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 5 Agosti 2015

WATOTO WAWILI WAFA MAJI BAADA YA BOTI MBILI KOGONGANA ZIWA VICTORIA

Watu kadhaa wanahofiwa kufa baada ya boti mbili kugongana usiku wa jana kati ya visiwa vya Kiwa na Remba katika ziwa Victoria eneo la Kenya.

Boti mojawapo inasemekana ilikuwa imebeba wavuvi kutoka Rema kuelekea soko la Sori katika kaunti ya Migori.

Ripoti za wavuvi katika fukwe ya Nyandiwa katika kaunti ya Suba zinaonyesha kuwa watu tisa wamekufa kutokana na janga hilo.

Kamishna wa polisi wa kaunti hiyo John Omusanga amesema miili ya watoto wawili imepatikana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni