.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 6 Agosti 2015

WATU SITA WAKIWEMO POLISI WATATU WAUWAWA KWA MLIPUKO NCHINI AFGHANISTAN

Watu wapatao sita wakiwemo maafisa polisi watatu wameuwawa katika bomu la kujitoa mhanga mashariki mwa Afghanistan.

Lori lililojaa milipuko ililipuliwa nje ya uzio wa polisi huko Puli Alam katika mji wa Logar.

Wapiganaji wa Taliban wamesema wametekeleza shambulio hilo. Hili ni shambulio kubwa la kwanza tangu wapiganaji wa kundi hilo kuthibitisha kiongozi wa Mullah Omar amekufa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni