.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 2 Septemba 2015

ANTHONY MARTIAL AWA KINDA GHALI KULIKO WOTE DUNIANI

Mshambuliaji kinda Anthony Martial ameandika historia ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo kununuliwa kwa bei mpaya kuliko wote duniani baada ya kutwaliwa na Manchester United akitokea Monaco.

Ada ya mchezaji huyo Mfaransa mwenye umri wa miaka 19 anayefananishwa na Thierry Henry ni paundi milioni 36, na huenda ikaongezeka hadi kufikia paundi milioni 58 kama mambo yake yatakuwa safi.

Kitita hicho kinazidi rekodi ya paundi milioni 32 ilizotoa timu ya Paris Saint-Germain kwa Sao Paulo ya Brazil kumnunua mshambuliaji kinda Lucas Moura miaka mitatu iliyopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni