Chanzo cha kifo
cha Bobbi Kristina Brown, ambaye ni mtoto wa marehemu Whitney Houston
kimebainika, hata hivyo matokeo yake hayatotolewa kwa umma.
Maafisa wamesema
kuwa serikali ya jimbo la Georgia imeagiza wataalamu wa afya
waliochunguza chanzo cha kifo hicho, kuficha matokeo.
Bobbi Kristina,
22, alifariki dunia Julai 26, ikiwa ni miezi sita tangu akutwe akiwa
amepoteza fahamu kwenye bafu nyumbani kwake huko Atlanta.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni