Kiongozi wa
kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameendesha ibada kubwa ya wazi
kwa umma Jijini Philadelphia wakati akimaliza ziara ya siku sita
nchini Marekani
Katika ibada
hiyo Papa Francis ametaka kuimarishwa kwa umoja na mapenzi ya
familia, mbele ya maelfu ya watu waliokusanyika katika uwanja wa
Benjamin Franklin.
Mapema, kiongozi aliomba pamoja na kundi la wahanga wa matukio ya
kudhalilishwa kingono wakiwa watoto, na kusema Mungu anawalilia
kutokana na mateso yao waliyopitia.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni