.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 29 Septemba 2015

JOSE MOURINHO AWACHIMBIA MKWARA MZITO WACHEZAJI WA CHELSEA

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amewaambia wachezaji wake kuwa hakuna hata mmoja aliyesalama iwapo timu hiyo itaendelea kufanya vibaya katika msimu huu.

Mourinho amesema kuwa itamlazimu kuwachezesha wachezaji vijana iwapo wachezaji wa kikosi cha kwanza hawatobadilika na kurejesha tena makali ya ushindi kwa timu hiyo.

Chelsea ambao ndio mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa sasa ipo katika nafasi ya 14 ya msimamo wa ligi hiyo pointi nane nyuma ya vinara Manchester United.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni