.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 10 Septemba 2015

JULIUS MALEMA ATOLEWA BUNGENI KWA NGUVU NCHINI AFRIKA KUSINI


Mwanasiasa machachari nchini Afrika Kusini, Julius Malema ametolewa bungeni baada ya kukataa kufuta matamshi ya kumtuhumu Naibu Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, kuwa ni muuaji.

Kauli hiyo ya Malema ilimfanya atolewe bungeni na walinzi wa bunge baada kugoma kutoka nje mwenye kwa hiyari. Mwezi uliopita Malema alimtuhumu Ramaphosa kuhusika na mauaji ya watu 34 mwaka 2012.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni