.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 10 Septemba 2015

WALIMU KENYA WASEMA HAWATISHIKI MGOMO UNAENDELEA MPAKA KIELEWEKE

Walimu nchini Kenya wamesema kamwe hawatotishwa kusitisha mgomo wao unaoendelea na kurejea kazini.

Wakati mgomo ukiingia siku ya nane hii leo, Tume ya Huduma za Walimu Kenya imesema imewaandikia barua walimu wakuu 5,000, manaibu wao na walimu waandamizi kwa kushindwa kufuata maelekezo ya namna ya kushughulikia mgomo huo.

Walimu hao waandamizi wamepewa siku 14, kujibu masula kuhusu nidhamu yao yaliyoelekezwa kwao la sivyo watimulewe kazi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni