Muigizaji filamu maarufu mwenye umri
wa miaka 84 nchini Urusi ametangaza rasmi mipango ya kuanza maisha ya
familia na mkewe mpya ambaye amemzidi umri kwa miaka 60, baada ya
kufunga ndoa jana.
Muigizaji huyo filamu mkongwe wa
Urusi Ivan Krasko amemuoa mchumba wake Natalia Shevel mwenye miaka
24, ambaye alikuwa ni mwanafunzi wake katika harusi iliyofanyika
kisiri na kuhudhuriwa na marafiki wa karibu na familia.
Licha ya mahusiano hayo kukosolewa
na watu wengi, wanandoa hao wameelezea uhusiano wao kuwa ni wa watu
wawili waliounganishwa kutokea mbinguni.
Wanandoa hao babu na mjukuu wakikatiza baada ya kufunga ndoa



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni