.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 7 Septemba 2015

KESI YA MKE WA JOHNNY DEPP YA KUINGIZA MBWA AUSTRALIA BILA KIBALI YAHAIRISHWA

Kesi inayomkabili mke wa muigizaji filamu Johnny Depp, Amanda Heard ya kuingiza mbwa nchini Australia bila ya kibali imehairishwa.

Heard ambaye naye pia ni muigizaji filamu aligizwa kufika mahakamani siku ya leo kwa akikabiliwa na mashtaka ya kushindwa kufahamisha uhamiaji mbwa wake wawili aliosafiri nao.

Amanda Heard ameshindwa kufika mahakamani hata hivyo kesi yake imehairishwa hadi Novemba 2.

Muigizaji huyo anakabiliwa na kifungo cha miaka 10 jela ama kutozwa faini kubwa kwa kuingiza mbwa kinyume na sheria za Australia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni