.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Septemba 2015

KIPINDI CHA JUKWAA LANGU SEPT 14 2015

Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015.

Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 14, 2015.

Kutoka Tanzania tuliungana na Jonathan Samiya na Nyakia, ambaye ni mmoja wa wakuu wa Itifaki wa kampeni za Dr Magufuli.

Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, Clare Ng'owo, Ali Badawy na Shamis Abdulla.

Kwenye line tulikuwa na Jeff Msangi, Dr Patrick Nhigula na Arthur

"https://w.soundcloud.com/player/?url=https%3A//api.soundcloud.com/tracks/224054821&color=ff5500&auto_play=false&hide_related=false&show_comments=true&show_user=true&show_reposts=false"

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni