.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 21 Septemba 2015

LIONEL MESSI AKOSA PENATI LAKINI APACHIKA MABAO MAWILI WAKATI BARCELONA IKIUWA

Nyota wa Barcelona Lionel Messi alikosa penati hata hivyo hali hiyo haikumkatisha tamaa kwani alicheka na nyavu mara mbili na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Levante.

Kwa ushindi huo Barcelona imejikita kileleni katika La Liga huku mahasimu wao wakuu Real Madrid wakipata ushindi wa bao 1 kwa bila dhidi ya Granada siku ya jumamosi.

Katika matokeo mengine Sevilla 1 - 2 Celta de Vigo, Deportivo de La Coruña 2 - 3 Sporting de Gijón,Villarreal 3 - 1 Ath Bilbao, Barcelona 4 - 1 Levante, pamoja na Las Palmas 0 - 1 Rayo Vallecano.
                                                                Neymar akimpongezana na Lionel Messi 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni