.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 21 Septemba 2015

MABAO MAWILI YA ANTHONY MARTIAL NA JINGINE LA JUAN MATA LAITAKATISA MAN U UINGEREZA

Mabao mawili ya Anthony Martial na jingine la Juan Mata jana yaliiwezesha Manchester United kushinda ugenini kwa mabao 3-2 dhidi ya Southampton katika mchezo mgumu wa ligi kuu ya Uingereza.

Kwa ushindi huo United imefikisha pointi 13 na kushika nafasi ya pili nyuma majirani zao Manchester City ambayo ipo kileleni mwa ligi hiyo kwa pointi 15, huku West Ham ikishika nafasi ya tatu kwa pointi 12.

Katika mchezo huo uliochezwa kwenye dimba la St Mary's wenyeji Southampton walianza kupachika bao kupitia kwa Graziano Pelle katika kipindi cha kwanza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni