.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 25 Septemba 2015

MABASI YAGONGANA NA KUSABABISHA VIFO VYA WANAFUNZI WANNE MAREKANI

Basi la Utalii na basi la abiria lililokuwa limewabeba wanafunzi wageni yamegongana huko Seattle, katika jimbo la Washington nchini Marekani na kusababisha vifo vya watu wanne.

Picha za video zinaonyesha basi la "Ride the Ducks" ambalo ni la kampuni inayotumika kusafirisha watalii katika miji kadhaa ya Marekani likigonga basi lingine ubavuni katika daraja.

Waliofariki dunia ni wanafunzi wageni kutoka kwenye Chuo cha Seattle kaskazini, huku watu kadhaa wakijeruhiwa.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni