.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Septemba 2015

MALCOLM TURNBULL AAPISHWA KUWA WAZIRI MKUU MPYA WA AUSTRALIA

Malcolm Turnbull ameapishwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Australia, baada ya Tony Abbott kung'olewa madarakani na chama chake katika kupinga uongozi wake.

Bw. Turnbull, ambaye alikuwa waziri wa mawasiliano chini ya uongozi wa Bw. Abbott, anakuwa waziri mkuu wa nne wa Australia tangu mwaka 2013.

Baada ya kula kiapo cha kuanza kutumikia madaraka hayo mapya Bw. Turnbull alihudhuria kipindi cha maswali bungeni kama waziri mkuu.

Hapo jana Bw. Abbott alisema kung'olewa kwake madarakani kulikuwa ni kazi ngumu, lakini ameahidi kuiheshimu serikali mpya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni