.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 29 Septemba 2015

MAMIA YA WAFUNGWA WATOROKA GEREZANI NCHINI JAMHURI YA AFRIKA YA KATI (CAR)

Mamia ya wafungwa katika gereza moja la nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) wametoroka gerezani wakati wimbi la ghasia zilizoibuka likisababisha vifo vya makumi ya watu nchini humo.

Ghasia hizo zilianza jumamosi baada ya mwendesha taksi Muislam kuuwawa na kuibua mapigano baina ya wanamgambo Wakristo na wa kundi la Waislam.

Wapiganaji Kikristo wanaojulikana kama anti-Balaka wameshambulia gereza siku ya jana na kuwaachilia huru mamia ya wanajeshi na wanamgambo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni