.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Septemba 2015

MANCHESTER UNITED, CHELSEA ZASHINDA MECHI ZAO ZA CAPITAL ONE

Mshambuliaji mpya wa Manchester United Anthony Martial ameendeleza makali yake ya kupachika mabao na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa amabao 3-0 dhidi ya Ipswich Town.

Wayne Rooney alipachika bao lake la kwanza kwake katika msimu huu kwa michuano ya ndani ya Uingereza, ambapo naye kinda kiungo Andreas Pereira, akipachika bao kwa mpira wa adhabu alioupiga kiufundi.
               Andreas Pereira, akipachika bao kwa mpira wa adhabu alioupiga kiufundi.
Chelsea imefanikiwa nayo kukata tiketi ya kutinga hatua ya nne ya michuano ya Kopmbe la Capital One baada ya kuichakaza Walsall kwa mabao 4-1. Mabao ya Chelsea yalipachikwa wavunia na Ramires, Loic Remy, Kenedy pamoja na Pedro.
                                          Ramires akipiga sarakasi kushangilia goli alilofunga.
Matokeo mengine ya Crystal Palace 4 - 1 Charlton, MK Dons 0 - 6 Southampton, Newcastle 0 - 1 Sheff Wed, Norwich 3 - 0 West Brom, Tottenham 1 - 2 Arsenal, Liverpool 1 - 1 Carlisle lakini Liverpool ikapita kwa mikwaju ya penati 3-2.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni