.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Septemba 2015

MABILIONEA WAZIDI KUSHINDANA KUTENGENEZA MABOTI YA KIFAHARI

Vita ya mabilionea kuwa na maboti ya kifahari imepamba kasi, huku kukiwa na bodi zenye eneo lenye theluji, mabwa ya kuogelea yenye maeneo ya kutowekea kama kwenye filamu za James Bond.

Bilionea wa Urusi Andrey Melnichenko ameibuka na boti mpya ya kifahari ijulikanayo kama A, ambayo ni boti kubwa duniani yenye urefu wa futi 300.
                                                        Muonekano wa mbele wa boti ya kifahari ya A
                                             Boti nyingine ya kifahari ikiwa imewasha taa usiku

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni