.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 9 Septemba 2015

MAPADRI WATANO WA ANGLIKANA KENYA WACHUNGUZWA KWA USHOGA

Kanisa la Anglikana nchini Kenya linawachunguza mapadri watano zaidi kutoka mkoa wa Mlima Kenya, kwa kujihusisha na vitendo vya ushoga.

Mapadri hao watano ambao wamesimamishwa kazi, wameoa na wana watoto na inasemekana wamekuwa wakifanya vitendo vya ushoga bila ya wake zao kufahamu, Askofu wa Daiyosisi ya Mlima Kenya magharibi Joseph Kagunda amesema.

Kanisa hilo siku ya jumapili lilimtaka mmoja wa padri wake mmoja kuachia madaraka kutokana na tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kishoga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni