.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 9 Septemba 2015

INJINI YA NDEGE YA BRITISH AIRWAYS YALPIUKA MOTO WAKATI IKIJIANDAA KUPAA


Ndege ya British Airways iliyokuwa ikielekea Jijini London imelipuka moto kwenye injini katika uwanja wa ndege wa Las Vegas wakati ikijiandaa kuruka na kulazimika abiria wote 172 waliokuwemo kutoka nje kwa kutumia milango ya dharuza.

Maafisa wa uwanja wa ndege huo wa Marekani wamesema watu wapatao 13 wamekimbizwa hospitali baada ya kupata majeraha madogo wakati wa kujinusuru maisha yao, kufuatia moto huo katika injini ya kushoto ya ndege hiyo aina ya Boeing 777-200.
              Picha ya ndege hiyo baada ya zimamoto kufanikiwa kuuzima moto huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni