.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 22 Septemba 2015

MELI YA NORWAY INAYOSHIKILIWA KATIKA BANDARI YA MOMBASA YAKUTWA NA SILAHA

Sakata kuhusiana na meli ya Norway inayoshikiliwa katika bandari ya Mombasa nchini Kenya limechukua sura mpya jana baada ya kubaini silaha 34 aina ya rifle zilizotengenezwa nchini Marekani.

Kubainika kwa silaha hizo kumekuja baada ya meli hiyo kukutwa na unga mweupe unaohisiwa kuwa ni dawa za kulevya ukiwa umefichwa kwenye magari ya Umoja wa Mataifa yaliyokuwa yanapelekwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Mamlaka za Bandari ya Mombasa zimesema Umoja wa Mataifa haukueleza uwepo wa silaha hizo ama mifumo ya silaha kwenye magari yake hayo yaliyowasili Kenya kutokea Mumbai.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni