Mshambuliaji Danielle Carter ameanza
vyema kwa kupachika mabao matatu yaani hat-trick wakati Uingereza
ikishinda mchezo wake wa kwanza wa kufuzu michuano ya Euro 2017 kwa
ushindi wa mabao 8-0 dhidi ya Estonia katika dimba la at A. Le Coq
Arena jana.
Mshambuliaji wa huyo wa Arsenal
ambaye ameichezea Uingereza kwa mara ya kwanza alipachika bao la
kwanza baada tu ya kuingizwa dimbani na baadae kuongeza mabao mawili
mengine katika mchezo wa kundi la saba.
Danielle Carter akipongezwa na wachezaji wenzake wa Uingereza
Kirby akipangua ngome ya Estonia na kupachika bao
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni