.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Septemba 2015

MEMPHIS DEPAY KUSHANGILIA IWAPO ATAITUNGUA BAO TIMU YAKE YA ZAMANI

Mchezaji wa Manchester United, Memphis Depay amekiri kuwa bado anamambo mengi ya kujifunza katika Kigi Kuu ya Uingereza wakati anaporejea kucheza na timu yake ya zamani ya PSV Eindhoven kwa mara ya kwanza tangu aondoke, na kusema hatosita kushangilia akifunga goli.

Depay amekuwa akianza kila mchezo tangu ajiunge na United kwa kitita cha paundi milioni 25, na kufunga magoli mawili safi dhidi ya Bruges katika hatua ya kuwaniwa kutinga katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Wakati huo huo Kocha Louis van Gaal ambaye ametumia paundi milioni 300 kwa usajili katika miezi 14 tangu ajiunge na klabu hiyo amekiri kuwa hadhani kama timu yake ni nzuri kiasi cha kuletaushindani katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni