.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 3 Septemba 2015

NCHI ZA ULAYA ZAKIRI KUELEMEWA NA MGOGORO WA WAHAMIAJI

Mgogoro wa wahamiaji Ulaya umeongezeka jana usiku baada ya udhibiti mipaka kutambulishwa na Ujerumani ikikiri kushindwa kukabiliana na ongezeko hilo.

Ujerumani imeamua kuwashutuma wengine ikiwemo nchi ya Uingereza kwa kutochukua wakimbizi zaidi baada ya kusema kuwa haitowarejesha wakimbizi wanaotoka Syria.

Kutokana na hali hiyo suala la kusafiri bila paspoti katika nchi za Umoja wa Ulaya, linatarajiwa kufutwa, baada ya Ujerumani kuiomba Italia kuimarisha udhibiti mipakani.
                                  Wahamiaji wakiwa wamerundikana mitaani Ulaya
                                                             Wahamiaji wakipambana na askari 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni