.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 30 Septemba 2015

PAMOJA NA KWAMBA NI MJAMZITO, KIM KARDASHIAN KWA VIATU VYENYE VISIGINO VIREFU HAKAMATIKI

Mwanamitindo maarufu nchini Maraekani, Kim Kardashian ambaye hivi sasa ujauzito wake una miezi sita ( 6 ) ameonekana akikatiza mitaa huku akiwa amevaa viatu virefu ambavyo kwa hali aliyonayo wataalamu wa masuala ya afya hawashauri kuvaliwa. 

Mwanadada huyo mwenye miaka 34 ambaye ni mke wa mwanamuziki Kanye West, anaonekana kutokubali kuuweka urembo kando pamoja na kwamba ni mjamzito. 

Akijifungua huyo atakuwa mtoto wake wa pili toka kwa mumewe Kanye West, kwani tayari wana mtoto wa kike aitwae North West.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni