.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 25 Septemba 2015

PAPA AWATAKA WAMAREKANI WAWAJALI WAHAMIAJI KAMA BINADAMU

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ameliambia Baraza la Congress la Marekani kuwa Marekani inapaswa kuwaona wahamiaji kama binadamu na si nambari ya watu.

Akiongea katika fursa maalum ya kuhutubia baraza hilo Papa Francis amesema wahamiaji wanapaswa kuchukuliwa kwa upendo na uvumilivu ambao watu wote tungependa kufanyiwa.

Katika hotuba yake Papa Francis amerejea wito wake wa kutaka kuondolewa kwa adhabu ya kifo, pamoja na kuwahudumia vyema masikini na makundi yaliyokosa fursa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni