Ombi la mwanamiindo wa Israel Bar
Refaeli la kufunga anga kwa ajili kutoa fursa ya kufunga ndoa yake
limeibua mgogoro baina ya Waziri wa Usafriri wa nchi hiyo na Mamlaka
ya Anga ya Israeil.
Mamlaka ya Anga ya Israel imekubali
kufunga anga juu ya hoteli itakayofungiwa harusi hiyo Rafaeli
kaskazini mwa Israel.
Hata hivyo Waziri wa Usafirishaji
Yisrael Katz ametishia mkufukuza kazi bosi wa Mamlaka ya Anga iwapo
hatobadilisha uamuzi wake huo.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni