.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 21 Oktoba 2015

BAN KI-MOON ATAKA HATUA ZA HARAKA KUSITISHA GHASI BAINA YA ISRAELI NA PALESTINA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Ban Ki-moon ametaka kuchukuliwa hatua za haraka kusitisha ghasi hatari zinazosambaa baina ya Israeli na Palestina.

Bw. Ban Ki-moon amewaambia waandishi wa habari Jijini Jerusalem kwamba bado mamlaka hazijachelewa mno kuepusha kutokea mgogoro mkubwa.

Bw. Ban ameongelea ghasia hizo baada ya polisi kusema Mpalestina aliyekuwa akiendesha gari ameligonga kwa makusudi kundi la Waisrael katika ukanda wa maharibi na kujeruhi mwanajeshi na raia.

Waisraeli wanane na zaidi ya Wapalestina 40 wakiwemo waliohusika na matukio ya kushambulia wameuwawa katika wiki za hivi karibuni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni