.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 21 Oktoba 2015

KAMPUNI YA KUTENGENEZA NDEGE LA BOEING IMERIPOTI KUPATA FAIDA

Kampuni ya kutengeneza ndege la Boeing imeripoti ongezeko la faida la asalimia 25, likichangiwa na mauzo ya ndege zake za kubeba mizigo.

Kampuni hiyo kubwa ya kutengeneza ndege imeingiza dola bilioni 1.70 katika mwezi Julai hadi Septemba, ikiwa juu ya dola bilioni 1.36 katika mwaka uliopita.

Mapato ya Boeing yameongezeka kwa asilimia 9 kwa kiasi cha dola bilioni 25.85, huku ndege za biashara zikichangia hadi asilimia 7.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni