.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Oktoba 2015

DK MAGUFULI AAHIDI KUJENGA VIWANDA VYA MANANASI, PAMBA NA MINOFU YA SAMAKI GEITA


Mkazi wa Kijiji cha Nyamatongo, wilayani Sengerema, Mwanza, akiwa amevaa kichwani  mfano wa karatasi la kupigiwa kura lenye picha ya Mgombea urais wa Tganzania kupitia CCM, Dk John Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan. Dk Magufuli alihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji hicho.

Dk Magufuli ameahidi kujenga viwanda vya kukamua juisi za mananasi yanayolimwa kwa wingi mkoani Geita ili kuongeza thamani ya zao hilo pamoja na kufufua viwanda vya pamba. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA, KAMANDA WA MATUKIO BLOG

Wananchi wa Jimbo la Buchosa, wilayani Sengerema wakishangilia baada ya kumuona Dk Magufuli ambaye akizungumza nao aliahidi kujenga barabara kwa kiwango cha lami kutoka Sengerema hadi Nyahunga.

Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi alipowasili Gati la Kamanga wilayani Sengerema
Mmoja wa wananchi akishangilia kwa furaha baada ya kufurahishwa na hotuba ya Dk Magufuli katika eneo la Kamanga, Sengerema.
Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi waliomzuia asipite katika Kijiji cha Katunguru, Sengerema



Mmoja wa wakazi wa Kasenyi akiwa amevaa kichwani karatasi la mfano la kuwapigia kura wagombea wa CCM, Dk Magufuli na Smia Suluhu Hassan wakati wa mkutano usio rasmi katika Kijiji hicho.

Wananchi wa Kijiji cha Kasenyi wakimshangilia Dk Magufuli na kuahidi kumpigia kura za ndiyo
Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Buchosa, wilayani Senegeream, Charles Tizeba wakati wa mkutano wa kampeni katika Mji wa Nyahunga.



Dk Magufuli akimnadi kwa wanachi Mgombea ubunge Jimbo la Geita Vijijini kupitia CCM, Joseph Musukuma katika Kijiji cha Nzera.

                     Wasanii Temba na Chegge wakitumbuiza wakati wa mkutano huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni