.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Oktoba 2015

NCHI YA MYANMAR IMESEMA ITASITISHA MATUMIZI MAKUBWA YA DOLA


Nchi ya Myanmar imesema itasitisha matumizi makubwa ya dola ya Marekani yanayofanywa na makampuni, ili kuimarisha fedha yake ya Kyat.

Benki Kuu ya Taifa hilo imefuta leseni za kufanya ubadilishaji fedha katika maeneo kadhaa ya biashara, kuanzia ya hoteli za kitalii, migahawa, klabu za gofu pamoja na hospitali.

Maamuzi hayo yanatokana na kuwepo kwa ongezeko kubwa la mahitaji ya dola ya Marekani nchini Myanmar na kusababisha kuwapo kwa kiwango kinachobadilika mara kwa mara cha soko la kubadilishia fedha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni