.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Oktoba 2015

MLIPUKO WA BOMU KATIKA BASI WAUWA WATU 11 NCHINI PAKISTANI

Mlipuko wa bomu katika basi katika mji wa Quetta nchini Pakistani umeuwa watu 11 na kujeruhi wengine 22, polisi wa nchi hiyo wamesema.

Afisa mwandamizi wa polisi katika mji huo wa magharibi, ameviambia vyombo vya habari kuwa kifaa cha mlipuko kiliwekwa juu ya paa la gari.

Tukio hilo la mlipuko limetokea wakati huu ambao ghasia zikitoweka nchini Pakistani. Hakuna kundi lililojitokeza kusema linahusika na shambulio hilo hadi sasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni