.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Oktoba 2015

MAMIA YA WA KOREA KUSINI WANASAFIRI KUELEKEA KOREA KASKAZINI KUWAONA NDUGU ZAO

Mamia ya wa Korea Kusini wanasafiri kuelekea Korea Kaskazini kwa tukio adimu la kuungwanishwa na familia zao ambazo walitengeanishwa nazo na vita ya Korea.

Tukio hilo la familia kuungana linafuatia mikutano kadhaa kwa wiki nzima, litafanyika kwenye hoteli ya Mlima Kumgang karibu na mpaka wa mataifa hayo jirani mahasimu.

Maelfu ya familia zimetenganishwa na ndugu zao tangu mwaka 1988, kutokana na tofauti za kiuhusiano baina ya mataifa hayo mawili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni