Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akimvisha kofia bibi aliamua kuhamia CCM kutoka CUF wakati wa mkutano wa kampeni mjini Magu.
Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Mgombea ubunge Jimbo la Sumve, Richard Ndassa Mganga, katika mkutano wa kampeni mjini Sumve leo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni