Jumanne, 20 Oktoba 2015
MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM, DK. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI JIMBO LA DIMANI
Baadhi ya wanaCCM waliohudhuria katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakimskiliza mgeni rasmi katika mkutano huo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao leo katika uwanja wa mpira wa Dimani leo,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwahutubia wananchi na WanaCCM katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja katika uwanja wa mpira wa Dimani leo,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwahutubia wananchi na WanaCCM katika Mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja katika uwanja wa mpira wa Dimani leo,[Picha na Ikulu.]
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akiwaombea kura Viongozi wa CCM walioomba nafasi za Uongozi katika kamapeni za CCM zilizofanyika leo katika uwanja wa mpira Dimani Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Jimbo la Dimani,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shei,[Picha na Ikulu.]
Maelfu ya Wananchama wa CCM na Wananchi waliohudhuria katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za CCM Jimbo la Dimani Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipozungumza nao leo,[Picha na Ikulu.]
Maelfu ya Wananchama wa CCM na Wananchi waliohudhuria katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za CCM Jimbo la Dimani Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipozungumza nao leo,[Picha na Ikulu.]
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dkt.Mohamed Seif Khatib alipokuwa akiwasalimia wanachama wa CCM na wananchi wa Jimbo la Dimani katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika le katika uwanja wa mpira Dimani Wilaya ya Magharibi Unguja,[Picha na Ikulu.]
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akiwaombea kura Viongozi wa CCM walioomba nafasi za Uongozi katika kamapeni za CCM zilizofanyika leo katika uwanja wa mpira Dimani Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Jimbo la Dimani,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shei,[Picha na Ikulu.]
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni