Siasa siyo uadui, Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Mh Amos Makalla ( katikati ) akiwa amesimama na kusalimiana na Dr Augustino Mrema aliyekuwepo maeneo ya Himo zilipo ofisi za TLP. Mkuu wa mkoa alikuwa akitokea ziarani Mwanga
Wananchi wilayani Mwanga wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, ( hayupo pichani ) Mh Amos Makalla.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Mh Amos Makalla akisalimiana na viongozi mbalimbali wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni