.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Oktoba 2015

MWALIMU MMOJA WA KIKE KENYA ATEKWA NA KUNDI LA AL-SHABAAB

Mwalimu mmoja wa kike nchini Kenya ametekwa jana katika kambi ya Hagadera huko Dadaad katika kaunti ya Garissa na watu wanaoshukiwa kuwa ni wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab la nchini Somalia.

Afisa wa jeshi la polisi OCDP Raphael Kimilu amesema kuwa bado hawajafanikiwa kumpata mwalimu huyo ambaye ni muajiriwa wa Shirika lisilolakiserikali la Trust International.

OCDP Kimilu amesema amesambaza maafisa polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia ambapo inaaminika wapiganaji hao wa Al-Shabaab wanamshikilia mwalimu huyo aitwae Judy Mutua.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni