.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Oktoba 2015

MWANAMITINDO CHRISSY TEIGEN NA JOHN LEGEND KUPATA MTOTO WAO WA KWANZA

Mwanamitindo Chrissy Teigen amefichua habari za furaha yake kupitia mitandoa ya jamii kwa kutangaza hatimae yeye na mwanamuziki John Legend wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.

Habari hizo njema zimekuja ikiwa wiki kadhaa kupita tangu Teigen, kueleza masikitiko yake ya kuwa na tatizo la kutoshika ujauzito, lakini sasa maombi yake yamejibu.

Mwanamitindo huyo anayepamba jarida la Sports Illustrated, ametuma picha ya rangi nyeusi akiwa na mumewe katika Instagram kueleza kutarajia kupata mtoto wao wa kwanza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni