.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Oktoba 2015

MWENYEKITI WA CHAMA CHA NLD, DK. EMMANUEL MAKAIDI AFARIKI DUNIA LEO MCHANA


Taarifa zilizothibitishwa na Afisa Habari wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) Tumaini Makene zimesema kwamba, Dk. Makaidi amefariki dunia baada ya kusumbuliwa na presha. 

Dk Makaidi pia alikuwa anawania ubunge wa jimbo la Masasi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kupitia mwavuli wa Ukawa.

Taarifa zaidi kuwajia baadaye. 

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni