.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Oktoba 2015

PAPA FRANCIS KUTO HUTUBIA BUNGE LA KENYA ATAKAPOKUWA NAIROBI

Imebainika kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Dunia, Papa Francis hatohutubia bunge la Kenya katika ziara yake atakayoifanya Jijini Nairobi mwezi Novemba.

Kwa mujibu wa Vatican, Maaskofu wa Kenya na Ikulu wanaohusika na ziara hiyo ya Papa, wamesema badala yake wabunge watahudhuria ibada ya Papa Francis atakayoifanya Chuo Kikuu cha Nairobi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni