.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Oktoba 2015

RAIS WA ARGENTINA CRISTINA FERNANDEZ ATAKA HAKI ITENDEKE KWA MTU ALIYEUWAWA

Rais wa Argentina, Bi. Cristina Fernandez pamoja na Shirika la Kimataifa la Amnesty wametaka haki kutendeka kufuatia kifo cha mwanaharakati aliyejibadilisha jinsia.

Mwanaharakati huyo Diana Sacayan, ambaye ni maarufu kwa harakati za haki za mashoga na wasagaji alikutwa akiwa amekufa Jijini Buenos Aires ndani ya ghorofa siku ya jumanne.

Hili ni tukio la tatu la ukatili uliosababisha mauaji dhidi ya watu waliobadili jinsia tangu katika mwezi uliopita.

Mataifa ya Latini Aamerika yamekuwa na matukio mengi ya mauaji ya watu waliobadili jinsia duniani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni