.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Oktoba 2015

RAIS WA ZAMANI WA BENIN MATHIEU KEREKOU AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa rais wa Benin, Mathieu Kerekou, ambaye alipongezwa kwa kuleta demokrasia ya vyama vingi nchini Afrika amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82.

Bw. Kerekou alikuwa rais kwa mihula miwili tofauti ya miaka 30, kwa mara ya kwanza alikuwa mkuu wa nchi wakati wa sera za Marxist katika mwaka 1972.

Hata hivyo alikubali wazo la kuwa na mfumo wa vyama vingi na kufanya uchaguzi ambao alikuja kupoteza madaraka mwaka 1991.

Marehemu Kerekou alikuwa rais wa kwanza wa mataifa ya Afrika ya Magharibi kukubali kushindwa katika uchaguzi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni