.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Oktoba 2015

MAAFISA POLISI 63 KENYA WATIMULIWA KAZI KWA RUSHWA

Maafisa polisi waandamizi 63 nchini Kenya wamefukuzwa kazi baada ya uchunguzi kubaini kujihusisha na rushwa kubwa, hususan wanaotokea kikosi cha usalama barabarani.

Msemaji wa Polisi Kenya Masoud Mwinyi ni miongoni mwa maafisa polisi waliofukuzwa kazi.

Hatma ya maafisa wengine wa polisi 29 haijajulikana bado, ambapo watachunguzwa zaidi na Tume ya Huduma za Polisi Kenya.

Matokeo ya uchunguzi huo wa tume hiyo yamehusisha maafisa polisi 1,364 waliochunguzwa kwa muda wa miezi 14.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni