.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 9 Novemba 2015

ARDHI YAPASUKA HUKO MISSISSIPPI NCHINI MAREKANI NA KUMEZA MAGARI 12

Vipimo vitafanywa kubaini kwanini aridhi imepasuka na kumeza magari 12 huko Mississippi nchini Marekani katika eneo la maegesho ya magari kwenye hoteli moja.

Shimo hilo la kupasuka ardhi lenye urefu wa mita 120 na upana wa mita 11 lilifunguka jumamosi huko Meridian, karibu na jimbo la Alabama.

Eneo hilo lilipata mvua kubwa kwa wiki mbili zilizopita, gazeti la Meridian Star limeandika. Hakuna mtu aliyejeruhiwa katika tukio hilo.
                       Magari yakiwa yametumbukia aridhini baada ya ardhi kupasuka
           Gari likiwa limenusurika kidogo kutumbukia baada ya ardhi kupasuka

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni