.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 9 Novemba 2015

KOCHA JURGEN KLOPP ASHANGAA MASHABIKI KUONDOKA WAKATI AKIPATA KIPIGO CHA KWANZA

Kocha ya Liverpool Jurgen Klopp amekiri kuwa alihisi ameachwa mwenyewe uwanjani wakati akishuhudia mashabiki wa timu yake wakiondoka katika dimba la Anfield jana baada ya kupachikwa bao la pili na Crystal Palace.

Kocha huyo aliangalia nyuma uwanjani baada ya Scott Dann kufunga goli la kichwa na kufanya matokeo kuwa 2-1, na kushuhudia mashabiki wa Liverpool wakiondoka dimbani badala ya kukaa kuhamasisha wachezaji kurejesha goli hilo.
            Mashabiki wa Liverpool wakiondoka jukwaani baada ya kufungwa bao la pili
          Mchezaji wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard alishuhudia kipigo hicho

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni