.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 9 Novemba 2015

REAL MADRID YATOTA DHIDI YA SEVILLA WAKATI NEYMAR AKIING'ARISHA BARCELONA

Klabu ya Soka ya Real Madrid ya nchini Hispania imekutana na kipigo cha kwanza katika ligi ya La Liga msimu huu cha mabao 3-2 kutoka kwa Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania uliopigwa jana usiku.

Wakiwa ugenini Madrid walianza kupata bao lililofungwa na Sergio Ramos lakini Sevilla wakafunga mabao matatu kupitia Cillo Immobile, Ever Banega na Fernando Lloriente huku bao la pili kwa Real Madrid likifungwa na James Rodrigues.

Kipigo hicho kwa Madrid kinaiacha Barcelona kutamba kileleni kwa pointi 27, pointi tatu mbele ya Real Madrid baada ya jana vijana wa Jose Henrique kuibuka na ushindi wa nabao 3-0 jana usiku dhidi ya Villarreal.
    Sergio Ramos akisikilizia maumivu ya bega baada ya kufunga bao kwa mtindo Bicycle Kick.
                                                                         Neymar akifurahia bao alilofunga 
                                                     Luis Suarez akifurahia bao la penati alilofunga

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni