.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 3 Novemba 2015

BOKO HARAM NOMA WATENGENEZA MAKOMBORA YA ROKETI WENYEWE

Kundi la wapiganaji wa Kiislam la Boko Haram limetoa picha zinazoonyesha wakiwa na kiwanda cha kutengeneza makombora ya roketi kaskazini-mashariki mwa Nigeria.

Kundi hilo limekuwa likitumia makombora ya roketi katika mashambulizi yake siku za nyuma na Wanaigeria wengi walikuwa wakihoji Boko Haram wanaizitoa wapi silaha hiyo..

Picha hizo zinaashiria kuwa wapiganaji wa Boko Haram wanaujuzi wa kutengeneza makombora ya roketi katika kiwanda hicho.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni