.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 22 Novemba 2015

BONDIA ANTHONY CROLLA ATIMIZA NDOTO YAKE YA KUTWAA TAJI LA DUNIA

Bondia Anthony Crolla ametimiza ndoto yake ya kutwaa taji la dunia la uzani wa lightweight la WBA, baada ya kumdunda Darleys Perez.

Crolla alimpiga kwa KO mpinzani wake katika raundi ya tano, kwa kumpiga ngumi ya kwenye mwili iliyompeleka chini.

Raia huyo wa Uingereza ameonekana kupona vyema jeraha la fuvu la kichwa alilopata wakati akiwakimbiza wezi katika nyumba ya jirani wake huko Oldham.
                                         Anthony Crolla akimtwanga ngumi Darleys Perez
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni