.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Novemba 2015

KENYA NAYO KAMA TANZANIA YAFUTA SAFARI ZA NJE KWA WATUMISHI WA UMMA

Nchi ya Kenya nayo imeonekana kufuata nyayo za Tanzania za kupiga marufuku safari za nje, baada ya serikali ya nchi hiyo nayo kutangaza kusitisha safari zote za nje za watumishi wa umma nchini humo.

Agizo hilo limetolewa Waziri wa Fedha, Henry Rotich, ili kuokoa fedha za serikali ambapo katika mwaka wa fedha ulioisha maafisa wa umma walitumia shilingi bilioni 20 za Kenya kwa safari, ambazo ni sawa na karibu nusu ya bajeti ya afya.

Katika matumizi hayo ya safari za nje na za ndani serikali kuu ilitumia shilingi za Kenya bilioni 10.8 na serikali za kaunti zilitumia shilingi bilioni 9.2 za nchi hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni