.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 19 Novemba 2015

WANAWAKE WAWILI WAJILIPUA KATIKA SOKO LA SIMU NA KUWA WATU 11

Wanawake wawili waliojilipua kwa mabomo ya kujitoa mhanga wameuwa watu 11 katika soko la mji mkuu wa kaskazini wa Kano nchini Nigeria.

Wakazi wa eneo hilo wamesema mabomu hayo yalilipuka ndani ya soko la simu za mkononi, na lingine katika mlango wa kuingilia soko hilo.

Hakuna kundi lililodai kuhusika na tukio hilo lakini wapiganaji wa kundi la Boko Haram wamekuwa wakihusika katika mashambulizi yaliyotokea mji wa Kano.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni